NYOKA MKUBWA WA AJABU ATOKEA KASULU KIGOMA, HOFU YATANDA KWA WAKAZI WA ENEO HILO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025
  • #Subscribe #Kasulu #Snake
    Ana unene mithiri ya nguzo ya umeme, tazama hii...
    _____________________________________________________
    / ntwiromediajoemgereza
    _____________________________________________________
    / ntwiromedia
    ______________________________________________________

Комментарии • 188

  • @SunyamarwamkerechaMkerecha
    @SunyamarwamkerechaMkerecha 15 дней назад +1

    Watanzania bana mnapenda Sana kuilaum serkali kila k2 serkali kwani iyo kijiji haina wanaume mura mmekaa serkali serkali

  • @bobbykibe8693
    @bobbykibe8693 3 года назад +6

    Juzi tu huku kwetu mtaa wa Jisalimishe county ya Nairobi Kenya nyoka moja aina ya chatu ilimeza mlevi mmoja alieanguka mtaro kalala. Chatu alishiba sana kashindwa kutembea. Tukamchinja na kwa tumbo tukapata mzee Kinara Bakari. Watanzania ndugu zetu mkilewa msilale kwa mitaro msijipate tumboni msizotarajia.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 26 дней назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nyoka anakula bataa.

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  26 дней назад

      @@valenakomba7686 🤣🤣🤣

  • @allanntana9068
    @allanntana9068 3 года назад +4

    Wataaamu wapo ...kwa nini wasimkamate na kumuua ili asiendelee kuogopesha wana Kasulu...

  • @lucasmganga8409
    @lucasmganga8409 3 года назад +1

    Pole sana neema isaya kwamkasa wanyoka

  • @JanethSall
    @JanethSall 15 дней назад +1

    Poleni sana Wana kasulu

  • @doreenngengena2980
    @doreenngengena2980 3 года назад +1

    Pole sana

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio Год назад +1

    hii africa bana 😂😂😂 sawa alikuwa na macho mekundu sawa sawa

  • @LydiaAkida
    @LydiaAkida 17 дней назад +1

    Bora Martha kadange nimekwelewa😢

  • @kabuletepierre7506
    @kabuletepierre7506 2 года назад +1

    Mimi ni mkongo. Hapo ni hali ya zarura hakuna haja ya serikali .vijana na wanaume wa hiyo kijiji muchukuwe mbwa alafu shikeni mapanga na mikuki na mishale. Mkingoja serkali itachelewa na mtajutia baadaye. Kama kwetu Congo tayari angeuliwa mara moja.

  • @haruna1
    @haruna1 3 года назад +2

    Iyo nzoka duuuh 🙌🙌🙌

  • @ibrahimmlwafu8691
    @ibrahimmlwafu8691 3 года назад +2

    Hatare

  • @FrankAthuman-cw4gr
    @FrankAthuman-cw4gr 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂 nyie mna kula Bata mnatak nyoka asile bata

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  7 месяцев назад

      @@FrankAthuman-cw4gr 🤣🤣

  • @mwanaishaally7749
    @mwanaishaally7749 3 года назад +1

    Hatari sana. Poleni

  • @josefluoga8487
    @josefluoga8487 3 года назад +1

    Poleni ndungu zangu wa kigoma

  • @PiiiNickson-wi1ld
    @PiiiNickson-wi1ld Год назад +1

    Awanyoka kigoma wapo wengi kwenye Poli la lugufu nilishuhudia wengi wanakula kondoo acheni kuwaza upuuz

  • @AmburoziFumbuka
    @AmburoziFumbuka 21 день назад +1

    Poleni sana nduzangu

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  21 день назад

      @@AmburoziFumbuka Asante sana

  • @evodiaamoni7576
    @evodiaamoni7576 3 года назад +1

    Atali sana tumuombe mungu sana maana nimlinzi tosha bila mungu wote wangesha jeluhiwa na nyoka hiyo poleni

  • @KimolaThomas-r4i
    @KimolaThomas-r4i 19 дней назад +1

    Uyo nyoka yupo wapi sasa au umnatumalizia tu mbs

  • @barakhakazeze2164
    @barakhakazeze2164 3 года назад +1

    Huyo nyoka kwann asiuliwe serikal iko wap au mpaka huyo nyoka aume watoto?

  • @mozarashidi569
    @mozarashidi569 3 года назад +1

    Polen sana na hiyo Ni mitihani tu

  • @MagrethFelisian
    @MagrethFelisian 20 дней назад

    Polenii Sanaa jaman,

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  20 дней назад

      @@MagrethFelisian asante ndugu

  • @happyjosephmwendowakulabat8348
    @happyjosephmwendowakulabat8348 3 года назад +1

    Poleni jaman uyo wamtu sio wakawaida

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 8 месяцев назад +1

    Tanapa mlishughurikie hilo swala akikosa kula bata na kuku atakula watu

  • @bowazibenoni9512
    @bowazibenoni9512 3 года назад +1

    Icee poleni sana na changamoto kubwa sana namna hiyo

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 3 года назад +5

    Tanzania hii tabia ya kila kitu serikali iwateteee ni ufinyu wa akili yaani nyoka Kama nyota eti tunaomba serikali itutetee mambo mengine sasa ni uroho wa ulalamikaji hata nyoka kweli eneo Hilo kumwaga tu oil chafu anaondoka mwenyewe tayari serikali itusaidie

  • @mrromano243
    @mrromano243 Год назад +1

    Bien

  • @blessingmushi4514
    @blessingmushi4514 2 года назад +1

    Duh maajabu hayo

  • @salimhassan9809
    @salimhassan9809 3 года назад +1

    Poleni

  • @jkkim3848
    @jkkim3848 3 года назад +1

    Serikali iwatetee kwa joka ama 😂

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 2 года назад +1

    Serekali ipeleke kikosi maalum .apingwe risasi.hrk.asije kumzuru.mtuu.

  • @EmannuliSiajali-jh7wh
    @EmannuliSiajali-jh7wh Год назад +1

    Tumepen maajab ya kigoma maan tunapasikiya mtandaaon

  • @michaeloguna6809
    @michaeloguna6809 3 года назад +2

    Badae hayo nyoka kuonekana ilifanywanini? Ju hayo nyoka ni hatari kuishi na watu karibu.

    • @azorindege2556
      @azorindege2556 3 года назад

      Mbona maelezo ya mtu wa kwanza ni kama uongo ahahaha hakuna kitu hapo

  • @wilsonkinayia8671
    @wilsonkinayia8671 2 года назад +1

    Thanks

  • @AndreaMussa-d1x
    @AndreaMussa-d1x 20 дней назад +1

    mbona haonyeshwi nyoka mwenyew

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 26 дней назад

    Mtoto Anasema Kinyoka Lakini Uyo Jamaa Anasema Mlefu Mfano Wa Nguzo Ya Umeme Ukweli Wa Uyo Nyoka Bado Mashakani

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  26 дней назад

      @@AwaziRajab 🤣🤣🤣🤣

  • @JumaabdallahAbdallah-nc9ro
    @JumaabdallahAbdallah-nc9ro Год назад +1

    Poleni wanakijij chukueni mikuki mkamuuwe vitu vingine ni vya kujilinda wenyewe

  • @jacintakisevu3493
    @jacintakisevu3493 3 года назад +1

    Waah

  • @BarakaAidan-om6ut
    @BarakaAidan-om6ut 6 месяцев назад +1

    Duuh Mungu atunusul sana

  • @JusterNachanzi
    @JusterNachanzi 19 дней назад +1

    Polen San watanzania wenzangu

  • @abdulrahmanyusuf3217
    @abdulrahmanyusuf3217 3 года назад +1

    Nice

  • @mchinjaayubu7559
    @mchinjaayubu7559 3 года назад +1

    Hivi haya mambo mbona Chuga hakunaga🤔😂

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio Год назад +1

    Waha mlinamagambo

  • @aminathmukusin5515
    @aminathmukusin5515 2 года назад +1

    Leann msimkamate na kumhua

  • @snupog5520
    @snupog5520 2 года назад +1

    Duuuuuu Aiseee poleni Sana watu wakasulu

  • @leodigitalsprayer6917
    @leodigitalsprayer6917 3 года назад +1

    mbona kidimbwi watu wanakula bata hamsemi...?

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 3 года назад +2

    Atameza watoto 🤔🤔🤔

  • @SofiaMayunga-h5v
    @SofiaMayunga-h5v 18 дней назад +1

    Eeeh jaman

  • @allanntana9068
    @allanntana9068 3 года назад +2

    Wazee wa Kiha ni wataalamu sana ...kwa nn wasimwondoe ...au amefugwa na mtu hapo Kasulu...wazee wakae faragha..

  • @josephndogossa8894
    @josephndogossa8894 3 года назад +3

    Mnashindwa kumtafuta auwawe mnasubili serikali iwasaidie nini juu yako

  • @AndreaMussa-d1x
    @AndreaMussa-d1x 20 дней назад

    waongo 2 mbona nyoka hamuonyeshi

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 7 месяцев назад +1

    Ni Kwa Nini ukipiga kelele watu hawakutoka kigoma ni wachawi sana

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  7 месяцев назад

      @@asteriashios1852 🤣🤣🤣

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 8 месяцев назад +1

    Huyo ni jini katumwa damu co hali ya kawaida

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +3

    pengine anafugwa na mtu hapo mtaani .
    Basi anakonda huyo anameza watu .

  • @abdallahzombe9119
    @abdallahzombe9119 3 года назад +1

    Huyo in mini wa jadi.

  • @wilsonmapayile4215
    @wilsonmapayile4215 3 года назад +1

    Where did the snake come from

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 3 года назад +1

    Ila Hawa jamaa wa huko wachawi sana...!..yaani hawabadiiiki, Karne ya 21 hii BADILIKENI nyie ..!

  • @masumbuko254
    @masumbuko254 3 года назад +2

    Huyo mrembo anaitwa Neema nipeeni nikamuoe mtoto mzuri sana

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato 3 года назад +3

    Hilo Joka Inaonekana Ni Tishio

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 3 года назад +1

    Mungu epusha hili

  • @karimuwikadi2659
    @karimuwikadi2659 2 года назад +1

    Ci

  • @macharosandra9467
    @macharosandra9467 3 года назад +4

    Niliwahi kusikia kigoma kuna nyoka wa kichawi, na simba za kichawi

    • @issaabdalla6897
      @issaabdalla6897 3 года назад

      I'm

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 3 года назад

      Kuna jamaa wa Kigoma alikuwa anakamata nyoka hata akiwa pangoni atatoka mwenyewe kwa madawa yake anauoyafanya/alochanjiwa, akishamkamata huyonyoka anamfanya kitoweo na kumla.
      Sasahi huyo jamaa kachanganyikiwa akili; alikuwa na maendeleo; duka, nyumba, Pikipiki nk vyote kauza !
      Subhannallah.

  • @LucasMubiligi
    @LucasMubiligi 15 дней назад +1

    Uongo umezid

  • @lucymichael3638
    @lucymichael3638 2 года назад +1

    Pole

  • @ericamkombo8926
    @ericamkombo8926 3 года назад +1

    Nmh polen duh

  • @farajasimkoko6893
    @farajasimkoko6893 3 года назад +1

    Ok

  • @zarinaathuman4839
    @zarinaathuman4839 2 года назад +1

    Jaman sasa serikali inahusika nn na nyoka

  • @jescabijera8707
    @jescabijera8707 3 года назад +2

    Mmmmh mbona hatari hiyo

  • @papaamasauti5944
    @papaamasauti5944 2 года назад +1

    Waha ndio wachawi wakubwa wa Tanzania mnashindwa kumuondosha nyoka mjini

  • @mwajumachizoza5652
    @mwajumachizoza5652 3 года назад +1

    Huyo nyoka wanuta maanaseyo wakawaida

  • @carensamweli8396
    @carensamweli8396 3 года назад +1

    Pollen sana

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 3 года назад +4

    Jopo la watoto

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад

      km birhday 😁😁😁

  • @JekoniaShaldreck-j6m
    @JekoniaShaldreck-j6m 19 дней назад +1

    Kijiji Cha wapi jaman huko kwetu

  • @BahatiCharles-p2t
    @BahatiCharles-p2t 6 месяцев назад +1

    Poreni sana😢

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  6 месяцев назад

      @@BahatiCharles-p2t Asante mkuu

  • @jacksonvicent6557
    @jacksonvicent6557 3 года назад +4

    Wafunge nakuomba mungu atampeperusha mbali kwamoto was Yesu

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад

      Waha ni kiboko wachawihao wanafuga nyoka nyienafuga BATA tuu au? Fugeni Kuku

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 8 дней назад +1

    Huyo ni joka siyo nyoka

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  8 дней назад

      @@jesusfirstchurch4162 🤣🤣🤣

  • @FatimaKasim-c8j
    @FatimaKasim-c8j 4 месяца назад

    hatar pole

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  4 месяца назад

      @@FatimaKasim-c8j Asante

  • @jumamdanzi2874
    @jumamdanzi2874 3 года назад +1

    How

  • @jonathankiulah7310
    @jonathankiulah7310 2 года назад +1

    Polen

  • @godlivingrichard8438
    @godlivingrichard8438 2 года назад +1

    Uwongo mita 6 awezi kuwa mnene asemavyo

  • @allymchia8563
    @allymchia8563 3 года назад +1

    Hao walionusurika na Huyo nyoka tuendelee kuwaombea Huyo nyoka afanyiwe msako wamuue anaweza kudhuru had wananchi

  • @balimasaimon7019
    @balimasaimon7019 2 года назад +1

    Hello hello are you fine my name is Simon where are you now actually this is RUclips okay sure I shoot me your photo and location is Sophie where are Sophie academy

  • @angelkimario5221
    @angelkimario5221 3 года назад +1

    Ni nyoka au kiskeleton Cha Nairobi kimepita

  • @maryamthiodor121
    @maryamthiodor121 2 года назад +1

    Si mba

  • @mrerickmgonja1816
    @mrerickmgonja1816 2 года назад +1

    Pollen jaman

  • @veronicambungu6167
    @veronicambungu6167 3 года назад +1

    Duuuh

  • @hawailonga1017
    @hawailonga1017 3 года назад +1

    Diy poleni

  • @nuruilomo1367
    @nuruilomo1367 2 года назад +2

    Angekuwep mtaan kwetu asingepona

    • @TijoTiger
      @TijoTiger 7 месяцев назад

      Kuna nyoka wakuua bro

  • @Shadiasemdami
    @Shadiasemdami 8 месяцев назад +1

    poreni sana wamhira

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  8 месяцев назад

      @@Shadiasemdami Asante

  • @yunusomali1405
    @yunusomali1405 3 года назад +1

    Kwani serikari hawajapewa tarifa

  • @isaackbuudi5417
    @isaackbuudi5417 2 года назад +1

    Nyika ni mama kama wegine

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 3 года назад +1

    Kigoma moja ni hatari sanaaaa

  • @raphaelmchilo-kx4tt
    @raphaelmchilo-kx4tt 2 года назад +1

    Huyonyoka atakuwanipepo

  • @athmanmohd8438
    @athmanmohd8438 3 года назад +1

    Dimondi na zuchu nitasubiri

  • @emmamedia8155
    @emmamedia8155 3 года назад +1

    Yebhagamwe eheee

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 3 года назад +1

    Wachina tu waje huko

  • @KayumuKayumu
    @KayumuKayumu 19 дней назад +1

    Duuh

  • @KyelaparalegalUnit
    @KyelaparalegalUnit 17 дней назад

    Huyo nyoka kafugwa

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  17 дней назад

      @@KyelaparalegalUnit itakua

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 7 месяцев назад +1

    Sio chatu huyo

    • @ntwiromedia
      @ntwiromedia  7 месяцев назад

      @@charlesmakuri792 ni nini?

  • @saharosiyat6812
    @saharosiyat6812 2 года назад +1

    Ayanwadani